Luke 10:13

Onyo Kwa Miji Isiyotubu

(Mathayo 11:20-24)

13 a “Ole wako Korazini! Ole wako Bethsaida! Kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwenu ingefanyika Tiro na Sidoni, miji hiyo ingekuwa imetubu zamani, kwa kuvaa magunia na kujipaka majivu.
Copyright information for SwhNEN